Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linatazamiwa hii leo kuipigia kura rasimu ya azimio ambalo huenda litaipatia Palestina uwakilishi mkubwa na haki zaidi ya ushiriki katika vikao vya Baraza hilo+++Zoezi la sensa ya watu ambalo hufanyika kila baada ya miaka kumi limeanza hii leo nchini Uganda